Rubani Rogers Gower wakati wa uhai wake
Jeshi la Polisi Simiyu limewakamata watu 9 waliohusika kutungua helkopta ya kampuni ya Mwiba na kumuua rubani wa helkopta hiyo Rogers Gower.
Baada ya kuuawa kwa rubani Rogers Gower, familia yake imechangisha fedha ili kuendelea kupambana na ujangili nchini kuenzi kifo chake.
Source:jamiiforums
0 MAONI YAKO:
Post a Comment