Mkali wa kuandiki mziki wa Hip Hop Tanzania Hamis Mwinjuma Mwana FA, aemtoa Cover ya wimbo wake mpya unaoitwa "Ahsanteni kwa kuja"
Wimbo huwo mpya wa FA, umetayarishwa chini ya producer Hermy B & Pancho Latino kutoka B Hitz Music Group.
Wewe i shabiki wa FA kama mimi na Saddiq Kisimikwe? kaa mkao wa kula
0 MAONI YAKO:
Post a Comment