Baada ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Rimex ya John iliyoimbwa na yemmy Alade wa Nigeria na yeye kuipa jina la Penny, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Mash J, safari hii imekuja tena na wimbo wake mpera mpera aliomshirikisha Stamina na wimbo huo umefanyika katika studio za Kwanza Records chini ya Producer Vennt Skillz
BALOZI NCHIMBI: MIAKA 3 YA RAIS SAMIA, KAMA MIUJIZA
-
-Asisitiza uadilifu na uwajibikaji kwa mali za umma
-Apongeza Serikali Njombe mrejesho kwa wananchi, chama kwa usimamizi.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapind...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment