Katika harakati za kupambana na ukatili wa kijinsia hususan
ukeketaji wa wanawake nchini Tanzania,zaidi ya mabinti 16 waliotoroka
makwao baada ya kuon akil adalili ya kutaka kukeketwa na jamii
zao,wazungumza na rfikiswahili wakiwa Tarime mkoani Mara,wakati huu
shule zikifunguliwa.
January 24, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment