Seneta Johnston Muthama aliyejeruhiwa mguuni na kuchaniwa suruali yake wakati wa vurugu bungeni leo.
WABUNGE nchini Kenya leo wametofautiana bungeni na kuamua kutupiana
makonde huku wengine wakichaniana nguo kufuatia mjadala kuhusu muswada
tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru
wa Wakenya.
Bunge nchini Kenya.
Bunge lililazimika kuahirisha vikao vyake kwa dakika 30 kufuatia mtafaruku…
0 MAONI YAKO:
Post a Comment