Taarifa toka kwa watu wa karibu na marehemu pamoja na familia, imethibitisha kifo cha mdau mkubwa asana wa media Tanzania G_ STAR wa ukweli. Tratibu za mazishi zinafanyika na marehemu atazikwa siku ya Jumatatu Mkoani Kilimanjaro. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment