December 19, 2014


Mlinzi kutoka jeshi la Uganda

Hawa askari tuliwaona wakati Diamond Platnumz amewasili Uganda na kupokelewa Airport kwa mbwembwe sana.
Kumbe ulinzi wao uliendelea mpaka siku ya sho ambapo mmoja wao aliwekwa Nje ya chumba cha Diamond na Zari. Ni Mlinzi kutoka jeshi la Uganda akilinda usalama Wa@diamondplatnumz na @zarithebosslady Hii picha akiwa nje ya chumba akiwasubiri wakati wakijiandaa.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE