Msanii
kutoka kundi la TMK Wanaume,Mh.Temba na na mlezi wa kundi hilo Said
fela wamejitolea kumsomesha kwa miaka saba mtoto wa aliyekuwa msanii wa
Bongo Flava kutoka kundi hilo aliyefariki usiku wa kuamkia juzi na
kuzikwa jana katika makaburi ya chang’ombe, marehemu Yesaya
TAKUKURU YAFANIKISHA MAREJESHO YA SH.MILIONI 439.2 KUTOKA KWA WANUFAIKA WA
MIKOPO ASILIMIA 10 JIJI LA TANGA
-
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Tanga Victot Swella akizungumza na waandshi wa
habari ambao hawapo pichani wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa
kipindi...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment