Mama aliyekuwa na mtoto mchanga akiwa amebebwa na Wasamaria wema.
Dereva wa pikipiki akiwa anagugumia kwa maumivu baada ya tukio. Pembeni ni pikipiki iliyopata ajali.
KITOTO kichanga jana kilinusurika kufa katika ajali
iliyotokea maeneo ya Ubungo-Darajani jijini Dar es Salaam, baada ya
pikipiki aliyokuwa amepanda mama yake kuteleza na kuanguka wakati
dereva akitaka kuovateki gari iliyokuwa mbele yake.Katika tukio hilo kichanga hicho kiliumia sehemu ya usoni, huku dereva na mama mwenye mtoto wakipata majeraha sehemu mbalimbali za miili yao.
(Habari/Picha Chande Abdalah na Gabriel Ng’osha/GPL)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment