September 11, 2014

Kabla ya kuanza kukupa info kuhusu huyu Mtanzania nataka nikukumbushe headlines chache za Watanzania walioingia kwenye headlines za kimataifa hivi karibuni.
Ni CloudsTV International kufungua ofisi Kingston Jamaica ambayo itahudumia ukanda wa Caribbean, Diamond Platnumz kuchaguliwa kushiriki tuzo za MTV Europe, AzamTV kuanza kufanya kazi Uganda kwa kuhudumia mamilioni kupitia king’amuzi chake na power bank za Puku zinazomilikiwa na Mtanzania aishie Marekani.
Sasa hivi vichwa hivyo vya habari vitaongezewa hii kubwa nyingine baada ya Mtanzania Kay Madati kuchaguliwa kuwa makamu wa Rais katika kituo kikubwa cha Television nchini Marekani BET.

Taarifa iliyoandikwa na Mtandao maarufu wa Forbes imesema amechaguliwa ‘Kay Madati as Executive Vice President and Chief Digital Officer. Madati, a Tanzanian citizen who has lived in Africa, the United Kingdom, and the United States’
Nilikua sifahamu kama Madati ambae ni raia wa Tanzania aliyeishi UK, Marekani na Afrika, aliwahi kuwa makamu wa Rais CNN Worldwide… aliwahi pia kufanya kazi na BMW Amerika kaskazini, Octagon Worldwide lakini pia amefanya kazi na Facebook.
‘Madati was most recently the Head of Entertainment and Media on the Global Marketing Solutions team at Facebook Inc‘
Sehemu ya kazi ya Madati BET itakua ni kuziongoza timu za BET kwenye maswala ya digital ‘will oversee BET Digital, the interactive arm of BET Networks whose platforms include BET.com, which encompasses entertainment, music, culture, and news; BET Mobile, which provides apps, ringtones, games and video content for wireless devices; Centric.tv, the online home for the Centric cable channel; and BET Video On Demand, one of the largest VOD services providing African-American content‘

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE