Aliyekuwa Rais wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Nyerere.
Rais
wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere'
ametangaza kujiuzulu cheo hicho kupitia ukurasa wake wa instagram.
Amedai kuna mpango mbaya dhidi yake hivyo akaona bora ajiengue pasipo
kufafanua zaidi.
BALOZI NCHIMBI: MIAKA 3 YA RAIS SAMIA, KAMA MIUJIZA
-
-Asisitiza uadilifu na uwajibikaji kwa mali za umma
-Apongeza Serikali Njombe mrejesho kwa wananchi, chama kwa usimamizi.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapind...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment