Albert Reynolds enzi za uhai wake.
ALIYEWAHI kuwa Waziri Mkuu wa Ireland kwa miaka mitatu, Albert
Reynolds amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81. Kiongozi huyo
aliyewahi kuongoza Chama cha Fianna Fáil na kushinda Tuzo ya Amani ya
Nobel pia aliwahi kuwa Waziri wa Fedha (1988–91), Waziri wa Viwanda na
Biashara (1987–88), Waziri wa Viwanda na Nishati (1982), Waziri wa
Usafirishaji (1980–81) na Waziri wa Posta na Simu (1979–81).
GHAZZA FC NA KISHAPU VETERAN WANAWAKE WASHINDI BONANZA LA MICHEZO KISHAPU
KUENZI MUUNGANO..... DC ASEMA USALAMA KWENYE MKESHA UMEIMARISHWA
-
Na Sumai Salum - Kishapu
Bonanza la michezo ya mpira wa miguu,pete na kukumbiza kuku
limehitimishwa April 24,2024 katika viwanja vya michezo shule ya ms...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment